Methali 21:3 - Swahili Revised Union Version3 Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kutenda mambo mema na ya haki, humpendeza Mwenyezi-Mungu kuliko tambiko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kutenda mambo mema na ya haki, humpendeza Mwenyezi-Mungu kuliko tambiko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kutenda mambo mema na ya haki, humpendeza Mwenyezi-Mungu kuliko tambiko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa Mwenyezi Mungu kuliko dhabihu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika zaidi kwa bwana kuliko dhabihu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Kutenda haki na hukumu Humpendeza BWANA kuliko kutoa sadaka. Tazama sura |