Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:21 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana walevi na walafi wataishia kuwa maskini, anayetumia siku yake kusinzia atavaa matambara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana walevi na walafi huwa maskini, nako kusinzia huwavika matambara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:21
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye mvinyo na mafuta hatakuwa tajiri.


Kwa sababu ya uvivu paa hunepa; Na kwa ulegevu wa mikono nyumba huvuja.


Levukeni, enyi walevi, mkalie; Pigeni yowe, ninyi nyote mnywao divai; Kwa sababu ya divai mpya; Maana umekatiliwa mbali na vinywa vyenu.


Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.


Lakini, mambo yalivyo, niliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang'anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.


wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.


husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.


wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu, hasikizi sauti yetu; ni mwasherati, tena ni mlevi.


mwisho wao ni uharibifu, mungu wao ni tumbo, utukufu wao uko katika fedheha yao, waniao mambo ya duniani.