Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:3 - Swahili Revised Union Version

Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mwangalifu huona hatari akajificha, lakini wajinga hujitokeza mbele wakaumia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mwangalifu huona hatari akajificha, lakini wajinga hujitokeza mbele wakaumia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mwangalifu huona hatari akajificha, lakini wajinga hujitokeza mbele wakaumia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele, naye hupata madhara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha, bali mjinga huendelea mbele kama kipofu nayo ikamtesa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA Ni utajiri, na heshima, nayo ni uzima.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafla, wala hapati dawa.


Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.


ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekwayo mbele yetu;