Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:16 - Swahili Revised Union Version

Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake; mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake; mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu akiahidi mbele yako kumdhamini mgeni, chukua nguo yake; mfanye awajibike kwa kuwadhamini wageni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie liwe dhamana kwa ajili ya mgeni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Amdhaminiye mgeni hakosi ataumia; Achukiaye mambo ya dhamana yuko salama.


Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.


Kwa maana kahaba ni shimo refu; Na malaya ni mtego wa shimo jembamba.


Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoza rehani aliye mdhamini wa malaya.


Maana midomo ya malaya hudondosha asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;


Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa rafiki yako, Ikiwa wewe na mgeni mmepeana mikono,


Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;


Wapate kukulinda na malaya, Na mwasherati akubembelezaye kwa maneno yake.