Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:14 - Swahili Revised Union Version

Wafurahio kutenda mabaya; Wapendezwao na upotovu wa waovu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watu wafurahiao kutenda maovu, na kupendezwa na upotovu wa maovu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watu wafurahiao kutenda maovu, na kupendezwa na upotovu wa maovu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watu wafurahiao kutenda maovu, na kupendezwa na upotovu wa maovu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wale wanaopenda kutenda mabaya, na kufurahia upotovu wa ubaya,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wale wapendao kutenda mabaya na kufurahia upotovu wa ubaya,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wafurahio kutenda mabaya; Wapendezwao na upotovu wa waovu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa mpumbavu kutenda maovu ni kama mchezo; Bali mtu mwenye ufahamu ana hekima.


Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.


Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.


Mpenzi wangu afanya nini nyumbani mwangu, ikiwa amefanya uasherati? Je! Nadhiri zako na nyama takatifu zitakuondolea hatia? Ufanyapo maovu, ndipo uonapo furaha.


Humfurahisha mfalme kwa uovu wao, na wakuu wao kwa uongo wao.


Yeye huwatoa wote kwa ndoana yake, huwakamata katika wavu wake, na kuwakusanya katika juya lake; ndiyo sababu afurahi na kupendezwa.


Siku ile hutaaibishwa kwa matendo yako yote uliyoniasi; maana hapo nitawaondoa watu wako wanaojigamba na kujivuna, wasiwe kati yako, wala hutatakabari tena katika mlima wangu mtakatifu.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;