Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hosea 7:3 - Swahili Revised Union Version

3 Humfurahisha mfalme kwa uovu wao, na wakuu wao kwa uongo wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 “Wanamfurahisha mfalme kwa maovu yao wanawafurahisha wakuu kwa uhaini wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 “Wanamfurahisha mfalme kwa maovu yao wanawafurahisha wakuu kwa uhaini wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 “Wanamfurahisha mfalme kwa maovu yao wanawafurahisha wakuu kwa uhaini wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Humfurahisha mfalme kwa uovu wao, na wakuu wao kwa uongo wao.

Tazama sura Nakili




Hosea 7:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja husema mema kwa mfalme; neno lako na liwe, nakusihi, kama neno la mmojawapo wao, ukaseme mema.


Ndipo mfalme wa Israeli akawakusanya pamoja manabii, kama watu mia nne. Akawaambia Je! Niende juu ya Ramoth-Gileadi kuupiga vita, au ninyamaze? Wakasema Kwea; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.


Wako wapi sasa manabii wenu waliowatabiria, wakisema, Mfalme wa Babeli hatakuja juu yenu, wala juu ya nchi hii?


Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?


Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa jangwani, kibanda cha wasafiri; nipate kuwaacha watu wangu, na kuondoka kwao! Maana wao ni wazinzi, wote pia, mkutano wa watu wenye hiana.


Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako.


Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu; na Yuda hata sasa anasitasita kwa Mungu, na kwake aliye Mtakatifu, naye ni mwaminifu.


Hapana neno ila kuapa kwa uongo, na kuvunja ahadi, na kuua, na kuiba, na kuzini; huruka mpaka, na kumwaga damu mfululizo.


Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.


Sikukuu ya mfalme wetu, wakuu waliugua kwa ukali wa divai; alinyosha mkono wake pamoja na wenye mzaha.


Kwa maana amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.


Mikono yao ni hodari kwa kutenda maovu; afisa na hakimu wanataka rushwa, mtu mkubwa hunena madhara yaliyomo rohoni mwake; hivyo ndivyo wayafumavyo hayo pamoja.


ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.


Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo