Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:8 - Swahili Revised Union Version

Apataye hekima hujipenda nafsi yake; Ashikaye ufahamu atapata mema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ajipatiaye hekima anaipenda nafsi yake; anayezingatia busara atastawi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ajipatiaye hekima anaipenda nafsi yake; anayezingatia busara atastawi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ajipatiaye hekima anaipenda nafsi yake; anayezingatia busara atastawi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake mwenyewe, yeye ahifadhiye ufahamu hustawi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake mwenyewe, yeye ahifadhiye ufahamu hustawi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Apataye hekima hujipenda nafsi yake; Ashikaye ufahamu atapata mema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:8
17 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu kuu.


Atakayelitafakari neno atapata mema; Na kila amwaminiye BWANA ana heri.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


Yeye ni mti wa uzima kwao wamshikao sana; Ana heri kila mtu anayeshikamana naye.


Mwanangu, yasiondoke haya machoni pako, Shika hekima kamili na busara.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Usimwache, naye atakusitiri; Umpende, naye atakulinda.


Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama.


Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.


Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.


Kwa maana, Atakaye kupenda maisha, Na kuona siku njema, Auzuie ulimi wake usinene mabaya, Na midomo yake isiseme uongo.