Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:8 - Swahili Revised Union Version

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo kitamu; ambacho hushuka moja kwa moja mpaka tumboni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.


Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake, Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.


Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.