Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 17:16 - Swahili Revised Union Version

Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ya nini mpumbavu kuwa na fedha mkononi kununulia hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ya nini mpumbavu kuwa na fedha mkononi kununulia hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ya nini mpumbavu kuwa na fedha mkononi kununulia hekima, wakati yeye mwenyewe hana akili?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu, wakati yeye hana haja ya kupata hekima?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu, wakati yeye hana haja ya kupata hekima?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 17:16
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.


Uzinzi na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.


Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.


Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona ninyi wenyewe kuwa hamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia Mataifa.


Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.


Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!