Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 16:8 - Swahili Revised Union Version

Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Afadhali mali kidogo kwa uadilifu, kuliko mapato mengi kwa udhalimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Afadhali mali kidogo kwa uadilifu, kuliko mapato mengi kwa udhalimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Afadhali mali kidogo kwa uadilifu, kuliko mapato mengi kwa udhalimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Afadhali kitu kidogo pamoja na haki kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Afadhali kitu kidogo pamoja na haki kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 16:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kidogo alicho nacho mwenye haki ni bora Kuliko wingi wa mali wa wasio haki wengi.


Kuwa na mali chache pamoja na kumcha BWANA; Ni bora kuliko mali nyingi pamoja na taabu.


Chakula cha mboga palipo na upendo; Ni bora kuliko ng'ombe aliyenona pamoja na kuchukiana.


Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.


Moyo wa mtu huifikiri njia yake; Bali BWANA huziongoza hatua zake.


Afadhali mego kavu pamoja na utulivu, Kuliko nyumba yenye karamu nyingi pamoja na magomvi.


Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia angawa ni tajiri.


Heri konzi moja pamoja na utulivu, Kuliko konzi mbili pamoja na taabu; na kufukuza upepo.


Kama kware akusanyaye makinda asiyoyaangua, ndivyo alivyo mtu ajipatiaye mali, wala si kwa haki, katikati ya maisha yake itamtoka, na mwisho wake atakuwa mpumbavu.


Je! Hata sasa hazina za uovu zingalimo nyumbani mwa wabaya, na kipimo kilichopunguka, ambacho ni chukizo?