Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 16:16 - Swahili Revised Union Version

Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kupata hekima ni bora kuliko dhahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kupata hekima ni bora kuliko dhahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kupata hekima ni bora kuliko dhahabu; kupata akili ni chaguo bora kuliko fedha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu, kuchagua ufahamu kuliko fedha!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu, kuchagua ufahamu kuliko fedha!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 16:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;


Heri mtu yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu.


Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.


Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.


Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.


Matunda yangu ni bora kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi, Na faida yangu ni bora kuliko fedha iliyo safi.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Ndivyo alivyo mtu ajiwekeaye nafsi yake akiba, asijitajirishe kwa Mungu.