Methali 16:15 - Swahili Revised Union Version15 Kuna uhai katika nuru ya uso wa mfalme, Na fadhili zake ni kama wingu la masika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Uso wa mfalme ukingaa kuna uhai; wema wake ni kama wingu la masika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Uso wa mfalme ukingaa kuna uhai; wema wake ni kama wingu la masika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Uso wa mfalme uking'aa kuna uhai; wema wake ni kama wingu la masika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Uso wa mfalme ung’aapo, inamaanisha uhai; upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Uso wa mfalme ung’aapo, inamaanisha uhai; upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Kuna uhai katika nuru ya uso wa mfalme, Na fadhili zake ni kama wingu la masika. Tazama sura |