Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:20 - Swahili Revised Union Version

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtoto mwenye hekima humfurahisha baba yake, lakini mpumbavu humdharau mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtoto mwenye hekima humfurahisha baba yake, lakini mpumbavu humdharau mama yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtoto mwenye hekima humfurahisha baba yake, lakini mpumbavu humdharau mama yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na tena, mfalme akasema hivi, BWANA, Mungu wa Israeli, ahimidiwe, aliyenipa leo hivi mtu wa kuketi katika kiti changu cha enzi, nayo macho yangu yakiwa yanaona hayo.


Basi kwa hiyo usimwachilie, kwa kuwa wewe u mtu wa akili; nawe utajua ikupasayo umtendee, na mvi zake utazishusha Ahera pamoja na damu.


Ikawa, Hiramu aliposikia maneno yake Sulemani, alifurahi sana, akasema, Na ahimidiwe BWANA leo, aliyempa Daudi mwana mwenye akili juu ya watu hawa walio wengi.


Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Msikilize baba yako aliyekuzaa, Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.


Baba yake mwenye haki atashangilia; Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.


Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Kila mtu na amche mama yake, na baba yake, nanyi mtazitunza Sabato zangu; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Ila mwajua sifa yake, ya kuwa ametumika pamoja nami kwa ajili ya Injili, kama mwana na baba yake.