Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 15:21 - Swahili Revised Union Version

21 Upumbavu ni furaha kwake aliyepungukiwa na akili; Bali mwenye ufahamu huunyosha mwenendo wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Upumbavu ni furaha kwa mtu asiye na akili, lakini mwenye busara huchagua njia iliyo sawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Upumbavu ni furaha kwa mtu asiye na akili, lakini mwenye busara huchagua njia iliyo sawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Upumbavu ni furaha kwa mtu asiye na akili, lakini mwenye busara huchagua njia iliyo sawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana akili, bali mtu mwenye ufahamu hushika njia iliyonyooka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana akili, bali mtu mwenye ufahamu hushika njia iliyonyooka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Upumbavu ni furaha kwake aliyepungukiwa na akili; Bali mwenye ufahamu huunyosha mwenendo wake.

Tazama sura Nakili




Methali 15:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akamwambia mwanadamu, Tazama, kumcha Bwana ndiyo hekima, Na kujitenga na uovu ndio ufahamu.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Kwa mpumbavu kutenda maovu ni kama mchezo; Bali mtu mwenye ufahamu ana hekima.


Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.


Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Akili za mwenye busara ni kujua njia yake; Lakini upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.


Wapumbavu huidharau hatia; Bali upo upendeleo kwa wenye haki.


Pasipo ushauri mipango vuhunjika; Bali kwa wingi wa washauri huthibitika.


Macho yako yatazame mbele, Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.


Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;


Basi angalieni sana jinsi mnavyoenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;


Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aoneshe kazi zake kwa mwenendo wake mzuri, katika upole wa hekima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo