Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:12 - Swahili Revised Union Version

Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye madharau hapendi kuonywa, hatafuti kamwe maoni ya wenye busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye madharau hapendi kuonywa, hatafuti kamwe maoni ya wenye busara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye madharau hapendi kuonywa, hatafuti kamwe maoni ya wenye busara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye mzaha huchukia maonyo; hatataka shauri kwa mwenye hekima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye mzaha huchukia maonyo; hatataka shauri kwa mwenye hekima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza ya BWANA; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema kamwe, ila siku zote mabaya; naye ndiye Mikaya mwana wa Imla. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivyo.


Walakini walimwambia Mungu. Tuondokee; Kwani hatutaki kuzijua njia zako.


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye; Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.


Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.


Adhabu kali ina yeye aiachaye njia; Naye achukiaye kukemewa atakufa.


Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajikusanyia waalimu wengi, watakaowaambia yale tu masikio yao yanataka kusikia;