Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 5:10 - Swahili Revised Union Version

10 Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Nyinyi huwachukia watetezi wa haki na wenye kusema ukweli mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Nyinyi huwachukia watetezi wa haki na wenye kusema ukweli mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Nyinyi huwachukia watetezi wa haki na wenye kusema ukweli mahakamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.

Tazama sura Nakili




Amosi 5:10
24 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji wa Israeli?


Ahabu akamwambia Eliya, Je! Umenipata, ewe adui yangu? Akamwambia, Nimekupata, kwa sababu umejiuza utende yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Yupo mtu mmoja, ambaye tungeweza kumwuliza BWANA kwa yeye, yaani Mikaya mwana wa Imla; lakini namchukia; kwa sababu hanibashirii mema, ila mabaya. Yehoshafati akasema, La! Mfalme asiseme hivi.


Ikawa, aliposema naye, mfalme akamwambia, Je! Tumekutia wewe kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza; kwa nini upigwe? Ndipo yule nabii akaacha, akasema, Najua ya kuwa Mungu amekusudia kukuangamiza, kwa sababu umeyafanya haya, wala hukulisikiliza shauri langu.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.


hao wamfanyao mtu kuwa amekosa katika neno, na kumtegea mtego yeye aonyaye langoni, na kumgeuza mwenye haki kwa kitu kisichofaa.


Naam, kweli imepunguka kabisa, na yeye auachaye uovu ajifanya kuwa mateka; naye BWANA akaona hayo, akachukizwa kwa kuwa hapana hukumu ya haki.


Basi, Ebedmeleki, Mkushi, towashi, aliyekuwa katika nyumba ya mfalme, aliposikia kwamba wamemtia Yeremia shimoni; na wakati huo mfalme alikuwa amekaa katika lango la Benyamini;


Lakini asishindane mtu, wala mtu asikemee; maana watu wako ni kama wao washindanao na kuhani.


naye kuhani ataangalia, ikiwa pana uvimbe mweupe katika ngozi yake, na mnywele zimegeuzwa kuwa nyeupe, tena ikiwa panafanyika kidonda katika ule uvimbe,


Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu.


Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda walio wake; lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu, bali mimi niliwachagua katika ulimwengu, kwa sababu hiyo ulimwengu huwachukia.


Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Je! Nimekuwa adui yenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli?


Nao wakaao juu ya nchi wafurahi juu yao na kushangilia. Nao watapelekeana zawadi wao kwa wao, kwa kuwa manabii hao wawili waliwatesa wao wakaao juu ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo