Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:30 - Swahili Revised Union Version

Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amani rohoni humpa mtu afya, lakini tamaa huozesha mifupa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amani rohoni humpa mtu afya, lakini tamaa huozesha mifupa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amani rohoni humpa mtu afya, lakini tamaa huozesha mifupa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali wivu huozesha mifupa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali wivu huozesha mifupa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Kwa sababu nimesema na Nabothi Myezreeli, nikamwambia, Unipe shamba lako la mizabibu kwa fedha, au, ukipenda, nitakupa shamba la mizabibu lingine badala yake. Akajibu, Sitakupa shamba langu la mizabibu.


Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Moyo wangu na uwe mkamilifu katika amri zako, Nisije mimi nikaaibika.


Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Moyo wa furaha huchangamsha uso; Bali kwa huzuni ya moyo roho hupondeka.


Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.


Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.


Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.


Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka, Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile; Ubovu ukaingia mifupani mwangu, Nikatetemeka katika mahali pangu; Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki, Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu.


Wale wazee wetu wakimwonea wivu Yusufu, wakamwuza aende Misri. Mungu akawa pamoja naye,


Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,


Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?