Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 13:15 - Swahili Revised Union Version

Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya muasi huangamiza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuwa na akili huleta fadhili, lakini njia ya waovu ni ya taabu

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuwa na akili huleta fadhili, lakini njia ya waovu ni ya taabu

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuwa na akili huleta fadhili, lakini njia ya waovu ni ya taabu

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ufahamu mzuri hupata upendeleo, bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ufahamu mzuri hupata upendeleo, bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya muasi huangamiza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 13:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Upendeleo wa mfalme humwelekea mtumwa atendaye kwa busara; Bali hasira yake itakuwa juu yake aletaye aibu.


Adhabu kali ina yeye aiachaye njia; Naye achukiaye kukemewa atakufa.


Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Uovu wako mwenyewe utakurudi, maasi yako yatakukaripia; ujue, basi, ukaone, ya kuwa ni jambo baya sana na uchungu, kuwa umemwacha BWANA, Mungu wako, na ya kuwa moyoni mwako hamna kunihofu, asema Bwana, BWANA wa majeshi.


Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.


akamtoa katika dhiki zake zote, akampa fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri; naye akamfanya awe mtawala juu ya Misri na nyumba yake yote.


Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.