Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 13:11 - Swahili Revised Union Version

Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mali ya harakaharaka hutoweka, lakini akusanyaye kidogokidogo ataiongeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mali ya harakaharaka hutoweka, lakini akusanyaye kidogokidogo ataiongeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mali ya harakaharaka hutoweka, lakini akusanyaye kidogokidogo ataiongeza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Fedha isiyo ya halali hupungua, bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo huongezeka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Fedha isiyo ya halali hupungua, bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo huongezeka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mali iliyopatikana kwa haraka itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo atazidishiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 13:11
19 Marejeleo ya Msalaba  

Amemeza mali, naye atayatapika tena; Mungu atayatoa tumboni mwake.


Taabu ya mikono yako hakika utaila; Utakuwa heri, na kwako kwema.


Hazina za uovu hazifaidii kitu; Bali haki huokoa na mauti.


Kiburi huleta mashindano tu; Bali hekima hukaa nao wanaoshauriana.


Kilichotarajiwa kikikawia kuja, moyo huugua. Bali haja ya mtu ikipatikana, ni mti wa uzima.


Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.


Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.


Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.


Mwenye husuda afanya haraka kuwa tajiri; Wala haufikiri uhitaji utakaomjia.


Yeye azidishaye mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu awahurumiaye maskini.


na mali hizo zimepotea kwa bahati mbaya; naye akiwa amezaa mwana, hamna kitu mkononi mwake.


Kama kware akusanyaye makinda asiyoyaangua, ndivyo alivyo mtu ajipatiaye mali, wala si kwa haki, katikati ya maisha yake itamtoka, na mwisho wake atakuwa mpumbavu.