Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 12:16 - Swahili Revised Union Version

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Udhia wa mpumbavu hujulikana mara, lakini mwerevu huyapuuza matukano.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Udhia wa mpumbavu hujulikana mara, lakini mwerevu huyapuuza matukano.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Udhia wa mpumbavu hujulikana mara, lakini mwerevu huyapuuza matukano.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpumbavu huonesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja, bali mtu wa busara hupuuza matukano.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ghadhabu ya mpumbavu hujulikana mara; Bali mtu mwerevu husitiri aibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 12:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani hasira humwua mtu mpumbavu, Nao wivu humwua mjinga.


Kuchukiana huleta fitina; Bali kupendana husitiri makosa yote.


Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.


Hekima hukaa katika moyo wake mwenye ufahamu; Bali yaliyo ndani ya wapumbavu hudhihirika.


Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake aliye nao; Bali kufundishwa kwa wapumbavu ni upuzi wao.


Afunikaye kosa hutafuta kupendwa; Bali yeye afichuaye siri hutenga rafiki.


Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta.


Jiwe ni zito, na mchanga hulemea; Lakini ghadhabu ya mpumbavu ni nzito kuliko hivi vyote viwili.


Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;