Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:27 - Swahili Revised Union Version

Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atafutaye kutenda mema hupata fadhili, lakini atafutaye kutenda maovu atapatwa na maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atafutaye kutenda mema hupata fadhili, lakini atafutaye kutenda maovu atapatwa na maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atafutaye kutenda mema hupata fadhili, lakini atafutaye kutenda maovu atapatwa na maovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atafutaye mema kwa bidii hutafuta fadhili; Atafutaye madhara, hayo yatamjia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakamtundika Hamani juu ya mti aliomwekea tayari Mordekai. Ghadhabu ya mfalme ikatulia.


Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.


Wameweka wavu ili kuninasa miguu; Nimevunjika moyo; Wamechimba shimo njiani mwangu; Lakini wao wenyewe wametumbukia humo!


Mtu mwovu hataki neno ila kuasi tu; Kwa hiyo mjumbe mkali atatumwa kwake.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.