Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:25 - Swahili Revised Union Version

Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mkarimu atafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mkarimu atastawi; yeye awaburudishaye wengine ataburudishwa mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

wakaleta magodoro, na mabakuli, na vyungu, na ngano, na shayiri, na unga, na bisi, na kunde, na dengu,


Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji.


Mwenye nafsi ya kutamani huchochea fitina; Bali amtumainiye BWANA ataneemeshwa.


Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.


Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi, Na vyombo vyako vitafurika divai mpya.


Mheshimu BWANA kwa mali yako, Na kwa malimbuko ya mazao yako yote.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.