Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 17:28 - Swahili Revised Union Version

28 wakaleta magodoro, na mabakuli, na vyungu, na ngano, na shayiri, na unga, na bisi, na kunde, na dengu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 walipeleka vitanda, mabirika, vyombo vya udongo, ngano, shayiri, unga, bisi, kunde na dengu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 walipeleka vitanda, mabirika, vyombo vya udongo, ngano, shayiri, unga, bisi, kunde na dengu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 walipeleka vitanda, mabirika, vyombo vya udongo, ngano, shayiri, unga, bisi, kunde na dengu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 wakaleta matandiko ya kitanda, mabakuli na vyombo vya mfinyanzi. Walileta pia ngano na shayiri, unga na bisi, maharagwe na kunde,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 wakaleta matandiko ya kitandani, mabakuli na vyombo vya mfinyanzi. Walileta pia ngano na shayiri, unga na bisi, maharagwe na kunde,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 wakaleta magodoro, na mabakuli, na vyungu, na ngano, na shayiri, na unga, na bisi, na kunde, na dengu,

Tazama sura Nakili




2 Samueli 17:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akampa Esau mkate na chakula cha dengu, naye akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo Esau akaidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.


Nafsi ya mtu mkarimu itastawishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Mwenye makao yako juu sana; Asemaye moyoni, Ni nani atakayenishusha mimi?


Heri wenye rehema; Maana hao watapata rehema.


Ndipo Abigaili akafanya haraka, akatwaa mikate mia mbili, na viriba viwili vya divai, na kondoo watano waliotayarishwa, na vipimo vitano vya bisi, na vishada mia moja vya zabibu, na mikate ya tini mia mbili; akavipakia vitu hivi juu ya punda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo