Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:22 - Swahili Revised Union Version

Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Ndivyo alivyo mwanamke mzuri asiye na akili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanamke mzuri asiye na akili, ni kama pete ya dhahabu puani mwa nguruwe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanamke mzuri asiye na akili, ni kama pete ya dhahabu puani mwa nguruwe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanamke mzuri asiye na akili, ni kama pete ya dhahabu puani mwa nguruwe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Ndivyo alivyo mwanamke mzuri asiye na akili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha nikamwuliza, U binti wa nani wewe? Naye akasema, Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia. Nami nikamtia kishaufu puani mwake na vikuku mikononi mwake.


Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.


Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;


Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.


Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli, Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa matopeni.