Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:1 - Swahili Revised Union Version

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini matumizi ya kipimo halali ni furaha kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini matumizi ya kipimo halali ni furaha kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, lakini matumizi ya kipimo halali ni furaha kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu huchukia sana mizani za udanganyifu, bali vipimo sahihi ni furaha yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana huchukia sana mizani za udanganyifu, bali vipimo sahihi ni furaha yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mizani ya udanganyifu ni chukizo kwa BWANA; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mizani ya haki na vitanga vyake ni vya BWANA; Mawe yote ya mfukoni ni kazi yake.


Vipimo mbalimbali, na pishi mbalimbali, Vyote viwili ni chukizo kwa BWANA.


Vipimo mbalimbali ni chukizo kwa BWANA; Tena mizani ya hila si njema.


Ni mfanya biashara, aliye na mizani ya udanganyifu mkononi mwake; anapenda kudhulumu.


Naye Efraimu alisema, Kweli nimekuwa tajiri, nimejipatia mali nyingi; katika kazi zangu zote hawataona kwangu uovu wowote uliokuwa dhambi.