Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:31 - Swahili Revised Union Version

Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kinywa cha mwadilifu hutoa mambo ya hekima, lakini ulimi wa mtu mbaya utakatiliwa mbali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima, bali ulimi wa upotovu utakatwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima, bali ulimi wa upotovu utakatwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:31
10 Marejeleo ya Msalaba  

Waliosema, Kwa ndimi zetu tutashinda; Midomo yetu ni yetu wenyewe, Ni nani aliye bwana juu yetu?


Midomo ya uongo iwe na ububu, Imneneayo mwenye haki maneno ya kiburi, Kwa majivuno na dharau.


Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.


Bali mfalme atamfurahia Mungu, Kila aapaye kwa Yeye atashangilia, Kwa maana vinywa vya waongo vitafumbwa.


Kinywa chake mwenye haki ni chemchemi ya uzima; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu,


Hekima hupatikana midomoni mwa mwenye ufahamu; Bali fimbo hufaa kwa mgongo wake asiye na ufahamu.


Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.


Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.