Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:16 - Swahili Revised Union Version

Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana wao wako mbioni kutenda maovu, haraka zao zote ni za kumwaga damu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana wao wako mbioni kutenda maovu, haraka zao zote ni za kumwaga damu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana wao wako mbioni kutenda maovu, haraka zao zote ni za kumwaga damu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi, ni wepesi kumwaga damu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi, ni wepesi kumwaga damu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, twende, tukamwue na kumtupa katika shimo mojawapo, nasi tutasema, Mnyama mkali amemla; kisha tutaona zitakuwaje ndoto zake.


Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege yeyote.


Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.


Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.


Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;


Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Lakini, ikiwa udhalimu wetu waithibitisha haki ya Mungu, tuseme nini? Je! Mungu ni dhalimu aletaye ghadhabu? (Nasema kwa jinsi ya kibinadamu.)


Sauli akajaribu kumpiga Daudi hadi ukutani kwa mkuki wake, ila yeye akaponyoka kutoka mbele ya Sauli, nao huo mkuki akaupiga ukutani; naye Daudi akakimbia, akaokoka usiku ule.