Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:15 - Swahili Revised Union Version

15 Mwanangu, usiende njiani pamoja nao; Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Wewe mwanangu usiandamane nao, uzuie mguu wako usifuatane nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Wewe mwanangu usiandamane nao, uzuie mguu wako usifuatane nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Wewe mwanangu usiandamane nao, uzuie mguu wako usifuatane nao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mwanangu, usiandamane nao. Usiweke mguu wako katika njia zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mwanangu, usiandamane nao. Usiweke mguu wako katika njia zao,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Mwanangu, usiende njiani pamoja nao; Uzuie mguu wako usiende katika mapito yao.

Tazama sura Nakili




Methali 1:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Nimeiepusha miguu yangu na kila njia mbaya, Ili nilitii neno lako.


Wewe utashirikiana nasi; Tutakuwa na vitu vyote kwa shirika.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


Usigeuke kwa kulia wala kwa kushoto; Ondoa mguu wako maovuni.


Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Ni yeye aendaye kwa haki, anenaye maneno ya adili; ni yeye anayedharau faida ipatikanayo kwa dhuluma; akung'utaye mikono yake asipokee rushwa; azibaye masikio yake asisikie habari za umwagaji wa damu; afumbaye macho yake asitazame uovu.


BWANA awaambia watu hawa hivi, Hivyo ndivyo walivyopenda kutangatanga; hawakuizuia miguu yao; basi, BWANA hawakubali; sasa ataukumbuka uovu wao, atawapatiliza dhambi zao.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo