Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:30 - Swahili Revised Union Version

Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Macho yao yakafunguliwa. Naye Yesu akawaonya kwa ukali: “Msimwambie mtu yeyote jambo hili.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho yao yakafunguka. Isa akawaonya vikali, akisema, “Chungeni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho yao yakafunguka. Isa akawaonya vikali, akisema, “Angalieni mtu yeyote asijue kuhusu jambo hili.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:30
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huwafumbua macho waliopofuka; BWANA huwainua walioinama; BWANA huwapenda wenye haki;


Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa.


Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa busara, atatukuzwa, na kuinuliwa juu, naye atakuwa juu sana.


akawakataza wasimdhihirishe;


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Akamkataza kwa nguvu, akamwondoa mara,


Akawakataza sana, wasimdhihirishe.


Akawaonya sana, mtu asijue habari ile; akaamuru apewe chakula.


Akamkataza asimwambie mtu, ila, Nenda ukajioneshe kwa kuhani; ukatoe sadaka kwa ajili ya kutakasika kwako kama Musa alivyoamuru, iwe ushuhuda kwao.


Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini akawakataza wasimwambie mtu lililotukia.