Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 12:16 - Swahili Revised Union Version

16 akawakataza wasimdhihirishe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 akawakataza wasimdhihirishe;

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

ili litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.


Naye Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Mkutano mkuu ukamfuata, kutoka Galilaya, na Yudea,


Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo