Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:12 - Swahili Revised Union Version

12 Akawakataza sana, wasimdhihirishe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Lakini aliwaonya wasiwaambie wengine kumhusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Lakini aliwaonya wasimseme yeye ni nani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Akawakataza sana, wasimdhihirishe.

Tazama sura Nakili




Marko 3:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

akawakataza wasimdhihirishe;


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.


Nakutambua u nani, Mtakatifu wa Mungu. Yesu akamkemea, akisema, Fumba kinywa, umtoke.


Akaponya wengi waliokuwa na maradhi mbalimbali, akatoa pepo wengi, wala hakuwaacha pepo kunena, kwa sababu walimjua.


Akafanya hayo siku nyingi. Lakini Paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, Nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo, mtoke huyu. Akamtoka saa ile ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo