Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:14 - Swahili Revised Union Version

Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu hakumjibu hata neno moja; hata huyo mkuu wa mkoa akashangaa sana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa hakumjibu hata kwa shtaka moja, kiasi kwamba mtawala alishangaa sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa hakumjibu hata kwa shtaka moja, kiasi kwamba mtawala alishangaa sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:14
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nimekuwa kifani kwa watu wengi, Lakini wewe ndiwe kimbilio langu la nguvu.


Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni.


Sikiliza sasa, Ee Yoshua, kuhani mkuu, wewe na wenzako wanaoketi mbele yako; maana hao ni watu walio ishara ya mambo yajayo; kwa maana, tazama, ninamleta mtumishi wangu, aitwaye Chipukizi.


Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?


Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.


Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.


Akaingia tena ndani ya ile Praitorio, akamwambia Yesu, Wewe umetoka wapi? Lakini Yesu hakumpa jibu lolote.


Maana nadhani ya kuwa Mungu ametutoa sisi mitume mwisho, kama watu waliohukumiwa wauawe; kwa sababu tumekuwa tamasha kwa dunia; kwa malaika na wanadamu.