Mathayo 26:63 - Swahili Revised Union Version63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema63 Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND63 Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza63 Lakini Yesu akakaa kimya. Kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu63 Lakini Isa akakaa kimya. Ndipo kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai. Tuambie kama wewe ndiwe Al-Masihi, Mwana wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu63 Lakini Isa akakaa kimya. Ndipo kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha mbele za Mwenyezi Mungu aliye hai. Tuambie kama wewe ndiwe Al-Masihi, Mwana wa Mungu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu. Tazama sura |