Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:62 - Swahili Revised Union Version

62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

62 Kuhani mkuu akasimama, akamwuliza Yesu, “Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

62 Kuhani mkuu akasimama, akamwuliza Yesu, “Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

62 Kuhani mkuu akasimama, akamwuliza Yesu, “Je, hujibu neno? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

62 Kisha kuhani mkuu akasimama na kumwambia Isa, “Je, wewe hutajibu? Ni ushahidi gani hawa watu wanauleta dhidi yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

62 Kisha kuhani mkuu akasimama na kumwambia Isa, “Je, wewe hutajibu? Ni ushahidi gani hawa watu wanauleta dhidi yako?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:62
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na baadaye wawili wakatokea, wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.


Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.


Kisha Kuhani Mkuu akasimama katikati, akamwuliza Yesu, akisema, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?


Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo