Isaya 8:18 - Swahili Revised Union Version18 Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mimi pamoja na watoto alionipa Mwenyezi-Mungu ni ishara na alama katika Israeli kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa majeshi akaaye mlimani Siyoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mimi pamoja na watoto alionipa Mwenyezi-Mungu ni ishara na alama katika Israeli kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa majeshi akaaye mlimani Siyoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mimi pamoja na watoto alionipa Mwenyezi-Mungu ni ishara na alama katika Israeli kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa majeshi akaaye mlimani Siyoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mwenyezi Mungu amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, anayeishi juu ya Mlima Sayuni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Niko hapa, pamoja na watoto ambao bwana amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa bwana Mwenye Nguvu Zote, anayeishi juu ya Mlima Sayuni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni. Tazama sura |