Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:13 - Swahili Revised Union Version

13 Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.


Pilato akajibu, Ama! Ni Myahudi mimi! Taifa lako na wakuu wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?


yule jemadari akaamuru aletwe ndani ya ngome, akisema aulizwe habari zake kwa kupigwa mijeledi, ili ajue sababu hata wakampigia kelele namna hii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo