Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 17:7 - Swahili Revised Union Version

Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaendea, akawagusa, akasema, “Simameni, msiogope!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaendea, akawagusa, akasema, “Simameni, msiogope!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaendea, akawagusa, akasema, “Simameni, msiogope!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akaja na kuwagusa, akawaambia, “Inukeni na wala msiogope.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akaja na kuwagusa, akawaambia, “Inukeni na wala msiogope.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 17:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mkono ukanigusa, ukaniweka juu ya magoti yangu, na viganja vya mikono yangu.


Kisha mmoja mfano wa mwanadamu akanigusa tena, akanitia nguvu.


Basi alipokuwa akisema nami, nilishikwa na usingizi mzito na uso wangu uliielekea nchi; lakini alinigusa, akanisimamisha wima.


naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni.


Mara Yesu alinena, akawaambia, Jipeni moyo, ni mimi; msiogope.


Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifudifudi na kuogopa sana.


Wakainua macho yao, wasione mtu ila Yesu peke yake.


nao walipoingiwa na hofu na kuinama kifudifudi hadi nchini, hao waliwaambia, Kwa nini mnamtafuta aliye hai katika wafu?


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,