Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 17:6 - Swahili Revised Union Version

6 Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifudifudi na kuogopa sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wanafunzi waliposikia haya, wakaanguka kifudifudi, wakajawa na hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wanafunzi waliposikia haya, wakaanguka chini kifudifudi, wakajawa na hofu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Na wale wanafunzi waliposikia, walianguka kifudifudi na kuogopa sana.

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akainua macho yake, akamwona huyo malaika wa BWANA amesimama kati ya nchi na mbingu, naye alikuwa na upanga wazi mkononi, umenyoshwa juu ya Yerusalemu. Ndipo Daudi na wazee wakaanguka kifudifudi, nao wamevaa nguo za magunia.


Basi, nikaondoka, nikaenda bondeni, na tazama, utukufu wa BWANA ulisimama huko, kama utukufu ule niliouona karibu na mto Kebari; nami nikaanguka kifudifudi.


Na maono niliyoyaona yalikuwa kama maono niliyoyaona nilipokuja kuuharibu mji; nayo maono niliyoyaona yalikuwa kama maono niliyoyaona karibu na mto wa Kebari; nikaanguka kifudifudi.


Basi alipakaribia mahali niliposimama; nami niliogopa alipokaribia, nikaanguka kifudifudi; lakini aliniambia, Fahamu, Ee mwanadamu, kwa maana maono haya ni ya wakati wa mwisho.


Kisha moto ukatoka hapo mbele za BWANA, na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa, na yale mafuta juu ya madhabahu; watu wote walipouona huo moto wakapiga kelele wakainama kifudifudi.


Alipokuwa bado akisema, tazama, wingu jeupe likawatia uvuli; na tazama, sauti ikatoka katika lile wingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye; msikieni yeye.


Yesu akaja, akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope.


Nikaanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia, Sauli, Sauli, mbona unaniudhi?


Tukaanguka nchi sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo.


Na sauti hiyo sisi tuliisikia ikitoka mbinguni tulipokuwa pamoja naye katika mlima ule mtakatifu.


Kwa maana, ikawa, mara huo muali wa moto ulipopaa juu mbinguni kutoka pale madhabahuni, huyo malaika wa BWANA akapaa katika mwali wa moto wa madhabahu; nao Manoa na mkewe wakaangalia; wakaanguka kifudifudi.


Manoa akamwambia mkewe, Hakika yetu tutakufa sisi, kwa sababu tumemuona Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo