Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:39 - Swahili Revised Union Version

Akawaaga makutano, akapanda katika mashua, akaenda pande za Magadani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la Magadani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kuaga umati wa watu, Isa aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kuaga ule umati wa watu, Isa aliingia katika mashua, akaenda sehemu za Magadani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaaga makutano, akapanda katika mashua, akaenda pande za Magadani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:39
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Nao waliokula walikuwa wanaume elfu nne, bila kuhesabu wanawake na watoto.


Akawaambia wanafunzi wake ya kwamba mashua ndogo ikae karibu naye, kwa sababu ya mkutano, wasije wakamsonga.


Mara akapanda katika mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda pande za Dalmanutha.