Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 14:22 - Swahili Revised Union Version

22 Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ngambo ya ziwa wakati yeye anayaaga makundi ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ngambo ya ziwa wakati yeye anayaaga makundi ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Mara, Yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie ng'ambo ya ziwa wakati yeye anayaaga makundi ya watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mara Isa akawaambia wanafunzi wake waingie katika mashua wamtangulie kwenda ng’ambo ya bahari, wakati yeye alikuwa akiaga ule umati.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Mara Isa akawaambia wanafunzi wake waingie kwenye mashua watangulie kwenda ng’ambo ya bahari, wakati yeye alikuwa akiwaaga wale makutano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:22
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.


Akawaaga makutano, akapanda katika mashua, akaenda pande za Magadani.


Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na lile neno, akiwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo