Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 14:21 - Swahili Revised Union Version

21 Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura Nakili




Mathayo 14:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa.


Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Na walioila ile mikate walikuwa wanaume elfu tano.


Yesu akasema, Waketisheni watu. Na mahali pale palikuwa na majani tele. Basi wanaume wakaketi, wapata elfu tano jumla yao.


Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaileta thamani ya vitu vile vilivyouzwa,


Lakini wengi katika hao waliosikia lile neno waliamini; na hesabu ya wanaume ikawa kama elfu tano.


Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo