Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:1 - Swahili Revised Union Version

Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huo, mtawala Herode alisikia sifa za Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Isa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo, Mfalme Herode, mtawala wa Galilaya, alisikia habari za Isa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.


Habari hizi zikaenea katika nchi ile yote.


Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.


Akawaagiza, akasema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.


wala hata Herode, kwa maana amemrudisha kwetu; basi tazama, hakuna neno lolote alilolitenda lipasalo kufa.


Mwaka wa kumi na tano wa kutawala kwake Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alipokuwa mtawala wa Yudea, na Herode mfalme wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania mfalme wa Abilene,


Lakini mfalme Herode alipokaripiwa na yeye kwa ajili ya Herodia, mke wa nduguye, na maovu yote aliyoyafanya Herode,


na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.


Karibu wakati ule ule, Herode mfalme akanyosha mikono yake kuwatenda mabaya baadhi ya watu wa kanisa.


Na huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, nao ni Barnaba, na Simeoni aitwaye Nigeri, na Lukio Mkirene, na Manaeni aliyekuwa ndugu wa kulelewa wa mfalme Herode, na Sauli.


Maana ni kweli, Herode na Pontio Pilato pamoja na Mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika katika mji huu juu ya Mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta,