Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 13:58 - Swahili Revised Union Version

58 Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

58 Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

58 Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

58 Kwa hiyo, hakutenda miujiza mingi pale kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

58 Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

58 Naye hakufanya miujiza mingi huko kwa sababu ya kutokuamini kwao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

58 Wala hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu ya kutoamini kwao.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:58
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe.


Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,


Vema. Yalikatwa kwa kutoamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo