Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 3:19 - Swahili Revised Union Version

19 Lakini mfalme Herode alipokaripiwa na yeye kwa ajili ya Herodia, mke wa nduguye, na maovu yote aliyoyafanya Herode,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Lakini Yohane alimgombeza mtawala Herode, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Lakini Yohane alimgombeza mtawala Herode, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Lakini Yohane alimgombeza mtawala Herode, kwa sababu alikuwa amemchukua Herodia mke wa ndugu yake, na kumfanya mke wake; na pia kwa ajili ya mabaya yote aliyokuwa amefanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Lakini Yahya alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Lakini Yahya alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Lakini mfalme Herode alipokaripiwa na yeye kwa ajili ya Herodia, mke wa nduguye, na maovu yote aliyoyafanya Herode,

Tazama sura Nakili




Luka 3:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.


Naye Yohana aliposikia huko gerezani matendo yake Kristo, alituma wanafunzi wake, kumwuliza,


Wakati ule mfalme Herode alisikia habari za Yesu, akawaambia watumishi wake,


Hata ilipofika sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya watu, akampendeza Herode.


Mwaka wa kumi na tano wa kutawala kwake Kaisari Tiberio, Pontio Pilato alipokuwa mtawala wa Yudea, na Herode mfalme wa Galilaya, na Filipo, ndugu yake, mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania mfalme wa Abilene,


Basi, kwa maonyo mengine mengi aliwahubiria watu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo