Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 3:20 - Swahili Revised Union Version

20 aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kisha Herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia Yohane gerezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yahya gerezani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yahya gerezani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 aliongeza na hili juu ya yote, alimfunga Yohana gerezani.

Tazama sura Nakili




Luka 3:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na Manase akazimwaga damu zisizo na hatia, nyingi sana, hata alipokuwa ameijaza Yerusalemu tangu upande huu hata upande huu; zaidi ya kosa lake alilowakosesha Yuda, kutenda yaliyo mabaya machoni pa BWANA.


tena kwa ajili ya damu zisizo na hatia alizozimwaga; kwani aliujaza Yerusalemu damu zisizo na hatia; wala BWANA hakukubali kusamehe.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Walakini hawakukutii, wakakuasi, wakaitupa sheria yako nyuma yao, wakawaua manabii wako waliowaonya ili wapate kukurudia wewe; wakakufuru sana.


Nimewapiga watoto wako bure; hawakukubali kurudiwa; upanga wenu wenyewe umewala manabii wako, kama simba aharibuye.


Basi Yesu aliposikia ya kwamba Yohana amefungwa, alikwenda zake mpaka Galilaya;


Maana Yohana alikuwa hajatiwa gerezani.


kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu na ya manabii, nawe umewapa damu wainywe; ndiyo wanayostahili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo