Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:9 - Swahili Revised Union Version

Mwenye masikio na asikie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye masikio na asikie!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye masikio ya kusikia, na asikie.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye masikio na asikie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio, na asikie.


Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?


Lakini, heri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.


Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.


Akasema, Aliye na masikio ya kusikilia, na asikie.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.