Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:14 - Swahili Revised Union Version

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mafarisayo wakatoka nje na kupanga njama ya kumuua Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Isa jinsi watakavyoweza kumuua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


Na ilipokuwa asubuhi, wakuu wa makuhani wote na wazee wa watu wakafanya shauri juu ya Yesu, wapate kumwua;


Baada ya siku mbili ilikuwa sikukuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa; wakuu wa makuhani na waandishi wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na kumwua.


Mara wakatoka wale Mafarisayo, wakawa wakifanya shauri juu yake pamoja na Maherodi, jinsi ya kumwangamiza.


Na wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumwua; maana walikuwa wakiwaogopa watu.


Wakajawa na uchungu, wakashauriana wao kwa wao wamtendeje Yesu.


Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.


Wakatafuta tena kumkamata; lakini akatoka mikononi mwao.


Basi tangu siku ile walifanya shauri la kumwua.


Na wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikuwa wametoa amri ya kwamba mtu akimjua alipo, alete habari, ili wapate kumkamata.


Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia,


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Mafarisayo wakawasikia mkutano wakinung'unika hivi juu yake; basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakatuma watumishi ili wamkamate.


Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.