Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:44 - Swahili Revised Union Version

44 Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Baadhi yao walitaka kumkamata, lakini hakuna aliyethubutu kumgusa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

44 Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:44
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Basi wakatafuta kumkamata; lakini hakuna mtu aliyeunyosha mkono wake ili kumshika, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


Maneno hayo aliyasema alipokuwa akifundisha hekaluni, katika chumba cha hazina; wala hakuna mtu aliyemkamata, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.


kwa kuwa mimi ni pamoja nawe, wala hapana mtu atakayekushambulia ili kukudhuru; kwa maana mimi nina watu wengi katika mji huu.


Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo