Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 7:43 - Swahili Revised Union Version

43 Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Kwa hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Kwa hiyo watu wakagawanyika kwa ajili ya Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake.

Tazama sura Nakili




Yohana 7:43
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nilikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;


Je! Mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambia, La, sivyo, bali mafarakano.


Kukawa na utengano tena kati ya Wayahudi, kwa ajili ya maneno hayo.


Kukawa na manung'uniko mengi katika makutano juu yake. Wengine wakasema, Ni mtu mwema. Na wengine wakasema, Sivyo; bali anawadanganya makutano.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Lakini jamii ya watu wa mjini wakafarakana; hawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa mitume.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo