Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:8 - Swahili Revised Union Version

Wakala, wakashiba, wakakusanya mabaki ya vipande vya mikate vikapu saba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wakala, wakashiba. Wakakusanya makombo wakajaza vikapu saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wakala, wakashiba. Wakakusanya makombo wakajaza vikapu saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wakala, wakashiba. Wakakusanya makombo wakajaza vikapu saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakala, wakashiba, wakakusanya mabaki ya vipande vya mikate vikapu saba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Waufumbua mkono wako, Wakishibisha kila kilicho hai matakwa yake.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate makanda saba, yamejaa.


Wala ile mikate saba kwa watu elfu nne, na makanda mangapi mliyoyaokota?


Na watu waliokula walikuwa elfu nne. Akawaaga.


Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.